Search This Blog

Friday, November 27, 2020

Aunty Ezekiel ajifungua mtoto wa kiume


 Malkia wa Bongo movie Aunty Ezekiel Amejifungua mtoto wa kiume, kupitia akaunti ake amepost video  na kutoa neno la shukrani.

Ikumbukwe kuwa Aunt Ezekiel huyu mtoto wake wa pili ambaye wa kwanza ni wa kike na amezaa na dansa wa msanii Daimond Platinum Mose Iyobo huku huyu wa pili ni wa kiume nababa wa mtoto bado ajajulikana.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...