Search This Blog

Tuesday, November 17, 2020

Alici Akeys amwagia sifa Diamond Platnumz

 


Mshindi wa tuzo za Grammy mara 15, Alici Akeys, amemsifu msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz, kwa aina yake ya uimbaji ambayo ameiita ya kipekee.

Alicia ameyasema hayo alipokuwa akifanya tathmini ya album yake aliyoitoa siku za karibuni ambapo Diamond ameshiriki kwenye wimbo uitwao ‘Wasted Energy.’

“Nimependa Diamond kuwa sehemu yaa album yangu, msanii wa Tanzania mkali ambaye ameibariki album yangu kwa aina yake ya uimbaji ya kipekee,” alisema Alicia Keys.

Diamond Platnumz ameweka historia ya kuwa Muafrika wa kwanza kushiriki kwenye Album ya msanii wa Marekani.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...