Mmoja wa maafisa wa Tume ya Uchaguzi akitoa maelekezo kwa wapiga kura kabla ya kupiga kura kuchagua viongozi katika kituo hicho.
Search This Blog
Tuesday, October 27, 2020
Wananchi wa Chamwino Ikulu wajitokeza kwa wingi vituoni kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani
Wananchi wa Chamwino Ikulu mkoani Dodoma wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika kituo cha kupigia kura cha Ukumbi wa Kijiji cha Ikulu Chamwino ili kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani katika uchaguzi unaofanyika leo Jumatano Oktoba 28,2020 nchini kote.
Mmoja wa maafisa wa Tume ya Uchaguzi akitoa maelekezo kwa wapiga kura kabla ya kupiga kura kuchagua viongozi katika kituo hicho.
Mmoja wa maafisa wa Tume ya Uchaguzi akitoa maelekezo kwa wapiga kura kabla ya kupiga kura kuchagua viongozi katika kituo hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...






No comments:
Post a Comment