Jeshi la Polisi mkoani Njombe limejikuta katika wakati mgumu mara baada ya wakazi wa kata ya Mji Mwema halmashauri ya mji wa Njombe,wakitaka jeshi hilo kumzika Marehemu Kelvin Fute (34) katika makaburi ya Hagafilo wakituhumu Polisi kuhusika na kifo cha kijana huyo aliyekuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kuuza msitu wa miti usio kuwa mali yake.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment