Shirika la ndege la Turkish Airlines limetangaza mpango wake wa safari za kimataifa kwa mwezi Novemba.
Kulingana na taarifa iliyotolewa kwenye wavuti rasmi ya THY, Turkish Airlines ilisitisha safari zake kutokana na janga la corona na sasa imetangaza kuanza tena safari zake za kimataifa.
Safari hizo zitaelekea katika mji mkuu wa Turkmenistan Ashgabat, Sochi nchini Urusi, Algeria, Mumbai na Delhi nchini India, Bangkok nchini Thailand, Bogota nchini Colombia, Dammam nchini Saudi Arabia, na Abu Dhabi huko Emirates (UAE).

No comments:
Post a Comment