Search This Blog

Friday, October 9, 2020

"Tunamsujudia Mwenyezi Mungu Pekee" Rais wa Uturuki


"Tunasujudu mbele ya Mwenyezi Mungu. Hatujawahi na wala hatutawahi kusujudu mbele ya nguvu nyingine yoyote.", alikumbushia Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan katika video fupi ya ukumbusho aliyorusha katika mtandao wa Twitter.

Erdoğan alionekana kuwahutubia wananchi kwenye mkutano, katika video hiyo fupi ya ukumbusho aliyorusha kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Katika video hiyo Erdoğan ameonekana akiwahutubia wananchi wake na kusema,

"Tunasujudu mbele ya Mwenyezi Mungu. Hatujawahi na wala hatutawahi kusujudu mbele ya nguvu nyingine yoyote. Mlitambue hilo" , ni sehemu ya maneno yaliyotamkwa na Erdoğan katika hotuba hiyo.


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...