Search This Blog

Tuesday, October 20, 2020

Tanzia: Mkurugenzi wa shirika la Taifa la maendeleo Prof. Damian Gabagambi afariki dunia


Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Prof. Damian Gabagambi afariki dunia Oktoba 20 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Prof. Gabagambi aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC Machi 23, 2018 na akaihudumu nafasi hiyo hadi umauti ulipomkuta

Taratibu za Mazishi zinaendelea nyumbani kwa marehemu, Oyster Bay, Dar es Salaam




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...