Search This Blog

Thursday, October 15, 2020

TANZIA: GOSBERT MUTAGAYWA AFARIKI DUNIA


Georgia Mutagaywa wa Mbezi Beach  anasikitika katangaza kifo cha kaka yake mpendwa - Gosbert Mutagaywa -  kilichotokea jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwa Baba wa Marehemu kijijini Muhutwe, Muleba Kaskazini. Habari ziwafikie ndugu na marafiki wote wa Marehemu Gosbert. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...