Search This Blog

Thursday, October 29, 2020

Selemani Jafo aibuka kidedea jimbo la kisarawe

 


Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la kisarawe Ndugu Mussa Gama ametangaza matokeo ya Uchaguzi.


Wapiga kura walio andikishwa ni 82,735


Walio piga kura ni 32,646


Kura Halali ni 31,971


Kura  zilizokataliwa ni 675


Walioshiriki Wagombea


1. SELEMANI JAFO CCM Alama 2,6739


2. Asha Chuma DP Alama 175


3. BARAKA NANDONDE CHADEMA Alama 2,402


4. ZAVALA MUSSA ACT wazalendo Alama 616


5. KHADIJA DIKULUMBALE CUF Alama 2,039


Hata Hivyo Chama cha Mapinduzi CCM Kimeshinda kata 17 zote za Halmashauri ya Wilaya Kisarawe 






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...