Search This Blog

Sunday, October 25, 2020

Ratiba ya leo ligi kuu Tanzania bara


 LEO Jumatatu, Ligi Kuu Bara inaendelea kwa timu tatu kusaka pointi tatu ndani ya uwanja namna hii:-

Mtibwa Sugar yenye pointi zake nane baada ya kucheza mechi saba inakutana na Azam FC yenye pointi zake 21 baada ya kucheza mechi saba, Uwanja wa Jamhuri, Moro.

Dodoma Jiji yenye pointi 12 inakutana na Tanzania Prisons yenye pointi tisa.Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Simba ikiwa na pointi zake 13 baada ya kucheza mechi sita inakutana na Ruvu Shooting yenye pointi tisa, Uwanja wa Uhuru.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...