Rais wa Ukraine Vladimir Zelenskiy, kwa mwaliko wa Rais Recep Tayyip Erdogan, atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano, mambo yote ya uhusiano wa nchi mbili yatajadiliwa kwenye mikutano ndani ya wigo wa ziara hiyo.
Viongozi wamepanga kubadilishana maoni juu ya maendeleo ya sasa ya kikanda na kimataifa kwenye mazungumzo hayo, ambayo yatazingatia hatua za kukuza zaidi ushirikiano wa nchi mbili.

No comments:
Post a Comment