Search This Blog

Thursday, October 15, 2020

Rais wa Ukraine kufanya ziara nchini Uturuki


Rais wa Ukraine Vladimir Zelenskiy, kwa mwaliko wa Rais Recep Tayyip Erdogan, atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki.

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano, mambo yote ya uhusiano wa nchi mbili yatajadiliwa kwenye mikutano ndani ya wigo wa ziara hiyo.

Viongozi wamepanga kubadilishana maoni juu ya maendeleo ya sasa ya kikanda na kimataifa kwenye mazungumzo hayo, ambayo yatazingatia hatua za kukuza zaidi ushirikiano wa nchi mbili.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...