Search This Blog

Tuesday, October 6, 2020

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Maguful  ametengua uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Ave Maria Semakafu.


 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...