Search This Blog

Saturday, October 24, 2020

Mrema Afunguka Kuhusu KOFIA Aliyopewa na Magufuli..."Amenipa Urithi"

 


"Kofia hii sitaitoa maana Rais MagufuliJP ni kama amenipa urithi ni kitu kikubwa sana, sio kila mtu anavishwa kofia na Rais, hii ni ishara kuwa wanachama wa CCM Vunjo kuwa Mrema ndio mwanangu mpigieni kura" Agustino Mrema, Mgombe Ubunge Jimbo la Vunjo kupitia TLP



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...