Search This Blog

Thursday, October 29, 2020

Moshi Mjini mshindi ni Priscus Tarimo wa CCM


Mgombea wa CCM, Priscus Tarimo wa CCM ameshinda Ubunge katika Jimbo la Moshi Mjini baada ya kupata kura 31,169 akifuatiwa na Raymond Mboya wa CHADEMA aliyepata kura 22,555.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...