Search This Blog

Monday, October 5, 2020

Matteo atua Hertha Berlin

Club ya Hertha Berlin ya Ujerumani imemsajulili kwa mkopo Matteo Guendouzi kutokea club ya Arsenal ya England kwa kipindi cha msimu mzima.

Arsenal wamemuachia Matteo ili aende Hertha Berlin akakomae zaidi kiuwezo, wakati huu akiwa bado kinda mwenye umri wa miaka 21.

Matteo ni mchezaji aliyelelewa katika vilabu vya vijana vya PSG na Lorient vya Ufaransa kabla ya 2018 kusajiliwa na Arsenal akitokea timu ya wakubwa ya Lorient.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...