Search This Blog

Saturday, October 31, 2020

Hii hapa ratiba ya leo ya ligi kuu

 


LEO Oktoba 31 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi ambapo mechi nne zitachezwa kwa timu nane kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.

Tanzania Prisons v Polisi Tanzania, Uwanja wa Nelson Mandela, saa 8:00 mchana

Namungo FC v Dodoma Jiji, Uwanja wa Majaliwa, saa 10:00 jioni.

Biashara United v Yanga, Uwanja wa Karume, saa 10:00 jioni.

Simba v Mwadui,saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...