Search This Blog

Tuesday, October 6, 2020

Donald Trump Atoka Hospitalini Avua Barakoa....

 


Rais Donald Trump ameruhusiwa kutoka Hospital baada ya kupatiwa matibabu ya corona kwa siku tatu, kwa sasa atabaki Ikulu kwa muda na hatoruhusiwa kujichanganya na Watu, baada ya kufika Ikulu Trump amevua Mask huku akionesha ishara ya vidole kwamba yuko fit.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...