Search This Blog

Wednesday, October 28, 2020

Deodatus Mwanyika Ashinda Ubunge Njombe Mjini


Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika (CCM) kuwa  mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 huku mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940. 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...