Search This Blog

Saturday, September 26, 2020

Wizara ya Sheria Marekani Yataka App Maarufu ya WeChat Ipigwe Marufuku


Wizara ya Sheria Marekani imetaka app ya China WeChat ipigwe marufuku applestore/playstore kisa ni tishio kwa usalama.

Wiki iliyopita Wizara ya biashara ilipiga marufuku WeChat lakini Mahakama ikatangaza kuchelewesha vizuizi sababu vitaathiri haki za Watumiaji



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...