Waziri wa ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar amewasili Jamhuri ya Kupro ya Kaskazini katika ziara yake rasmi.
Waziri huyo wa ulinzi wa Uturuki amekwenda mjini Nikosia baada ya kumaliza mkutano wake na meja -jenerali Yaşar Güler.
Hulusi Akar amezungumza pia na Ümit Dündar, amiri jeshi wa kikosi cha jeshi la majini Adnan Özbal na jeshi la ardhini Hsan Küçükakyüz mjini Antalya.
Baada ya mazungumzo yake hayo, Hulusi Akar amejielekeza mjini Nikosia.
Waziri wa ulinzi wa Uturuki amehudhuria pia katika mazoezi ya jeshi la Uturuki na jeshi la Jamhuri ya Kupro ya Kaskazini.

No comments:
Post a Comment