Search This Blog

Monday, September 14, 2020

ULEGA AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NDANI YA JIMBO LA MKURANGA


Mgombea Ubunge jimbo la Mkuranga, Abdallah Hamisi Ulega (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapindunzi na Wananchi leo kata ya Mipeko katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwenye viwanja vya Mwanambaya. Wakati wa kunadi sera za chama chake Mhe. Ulega aliieleza kuwa Iwapo CCM itashinda itahakikisha inapandisha hadhi zahanati ya kijiji cha Mipeko na kuwa kituo cha afya,kwa sababu kumekuwepo na ongezeko kubwa la idadi ya watu kila siku.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Wananchi wa kata ya Mipeko wakimsikiliza Mgombea Ubunge jimbo
la Mkuranga, Abdallah Hamisi Ulega (hayupo pichani).

Muonekano wa wananchi na wakazi wa Jimbo la Mkuranga wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo wa Kampeni. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...