Search This Blog

Tuesday, September 22, 2020

Ugiriki yatangaza kufanya mazungumzo na Uturuki hivi karibuni


Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya nje ya Ugiriki,

"Ugiriki na Uturuki, hivi karibuni zitakuwa na mazungumzo ya duru ya 61 ya uchunguzi kuelekea makubaliano huko Istanbul."

Duru ya 60, ya mwisho ya mazungumzo ya uchunguzi yaliyozinduliwa kati ya nchi hizo mbili mnamo 2002, yalifanyika Athene mnamo 1 Machi 2016. Baada ya tarehe hii, mazungumzo kati ya nchi hizo mbili yaliendelea kwa njia ya mashauriano ya kisiasa, lakini hayakurejea kwenye mfumo wa uchunguzi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...