Search This Blog

Saturday, September 19, 2020

Tutapanua Uwanja wa Ndege wa Kigoma ili ndege zitoke DSM kuja Kigoma hadi Bujumbura Burundi- JPM


“Tutapanua Uwanja wa Ndege wa Kigoma ili ndege zitoke DSM kuja Kigoma hadi Bujumbura Burundi ili kukuza Biashara, tutajadiliana na Ndayishimiye kuona uwezekano wa kujenga mtambo wa pamoja wa kuchenjua madini ya bati ili tuyauze na kupata fedha za kigeni” -JPM 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...