Search This Blog
Saturday, September 12, 2020
Poshy: Wanawake Wanaongoza Kwa Chuki
Mrembo ambaye alijizolea umaarufu hivi karibuni baada umbo lake kuonekana kuwavutia watu mbalimbali bongo, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ amesema alichojifunza kwenye dunia hii, wanaoongoza kwa chuki na roho mbaya ni wanawake na sio wanaume.
Akizungumza na Amani, Poshy, alisema kuwa amegundua kuwa kuna wanawake wengine hawapendi kuona mwingine anaendelea hivyo mwanamke huyo akiona mwenzake anapiga hatua, atamuwekea kila aina ya chokochoko ili kumtibulia mambo yake.
“Watu wanashindwa kuelewa kuwa huku duniani kila mtu ana bahati yake hivyo ukiona mwenzako anafanikiwa au mwanamke mwenzako anafanya vizuri mshike mkono uzidi kumfanya ainuke ili akuinue na wewe na sio kumponda kila kukicha maana huo utaitwa ni wivu,” alisema Poshy ambaye tayari amejikwamua kwa kufungua duka lake la kuuza nguo za ndani.
Stori: Imelda mtema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment