Search This Blog

Saturday, September 12, 2020

Orodha ya Wasanii watakaokuwepo Jukwaani Leo Ufunguzi wa Kampeni za Mgombea Urais Zanzibar Dkt Hussein Ally Mwinyi.

Orodha ya Wasanii watakaokuwepo na kupanda Jukwaani Leo Jumamosi kwenye Ufunguzi wa Kampeni za Mgombea Urais Zanzibar Dkt Hussein Ally Mwinyi.
Tukio litakuwa LIVE  kupitia vituo vya runinga vya ZBC, TBC, Clouds, ITV na Channel 10, pia matangazo yatarushwa kupitia Kurasa rasmi za Chama mitandaoni. @ccmtanzania @dr.hmwinyi












No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...