Search This Blog
Wednesday, September 9, 2020
Niva Marioo afunguka kwenda Mahabusu
Msanii wa filamu Niva Supa Marioo ameeleza kuwa kwenye maisha yake hajawahi kwenda jela ila aliwahi kuingia mahabusu kwa sababu ya kumpiga mpenzi wake wa zamani baada ya kumfumania.
Niva Marioo amesema alipelekwa mahabusu mara mbili mara ya kwanza ni baada ya kumfumania mpenzi wake, mara ya pili alikamatwa baada ya kwenda kufanya show na marehemu Udeude.
"Kwenye maisha yangu sijawahi kwenda jela, ila polisi na mahabusu niliwahi kuingia mara mbili, kosa la mara ya kwanza ilikuwa kumpiga Ex wangu ambaye nilimfumania, kama unavyojua unapomfumania mtu unakua kama kichaa, tena nilimfuma akiwa anapigwa kiss na mwanaume mwingine kwenye gari, nilikuwa nimemfuata tuka-enjoy na kula bata ila nikajikuta nimelala kituoni"
Niva Marioo amesema baada ya tukio hilo kutokea alikaa chini na kujutia kwa sababu ndiyo ilimfanya aweze kwenda polisi kwa mara ya kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment