Search This Blog

Tuesday, September 29, 2020

Mfalme al-Sabah wa Kuwait afariki akiwa na miaka 91



Kifo chake kinaacha pengo kwa umoja wa nchi za kiarabu ya Ghuba ya Uajemi inayoshirikiana na chi za Magharibi, kuwa bila ya mmoja wa viongozi wake wazee wenye uzoefu wakati washirika wa kikanda pamoja na Qatar, Saudi Arabia na Misri wamegawanyika na uhasama ambao mfalme Sabah alijaribu kuupatanisha



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...