Search This Blog

Sunday, September 20, 2020

Mane mchezaji bora wa Mechi vs Chelsea


Liverpool wakiwa Stamford Bridge ambapo ndio nyumbani kwa Chelsea, wamefanikiwa kupata ushindi wa magoli 2-0, magoli hayo yakiwekwa wavuni na Sadio Mane dakika ya 50 na 54.

Baada ya ushindi huo muhimu Mane ambaye alimaliza mchezo kwa kupiga mashuti matatu tu yaliolenga lango mawili yakiingia nyavuni na kumfanya awe mchezaji bora wa mechi.


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...