Search This Blog
Saturday, September 12, 2020
Mama Cookie Aapa Kuzaa Mpaka Baasi!
Mwanamama mkali kunano Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson Jujuman ‘Mama Cookie’, ameapa kuzaa mpaka baasi, huku akitanabaisha kuwa, kikubwa anachoangalia anazaa na nani, kwani hana mpango wa kuolewa.
Aunt ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, watu wengi wamekuwa wakishangazwa na yeye kubeba mimba na kutaka kumchunguza yeye na kusahau maisha yao ya kila siku.
“Kwenye akili yangu, sina mpango kabisa wa kuolewa. Mpango wangu ni kuzaa mpaka baasi, mpaka kieleweke maana nimeshaona wazi, nikibeba mimba watu wanakuwa bize kuchunguza nimeipata wapi, ni ya nani?
Basi inakuwa ni vurugu tupu, wakati mimba ni baraka na tabasamu kwa kila mwanamke,” amesema Aunt ambaye ni mama kijacho, huku akiwa na mtoto mwingine aliyezaa na Moze Iyobo ambaye ni dansa wa Lebo ya WCB
STORI:IMELDA MTEMA, IJUMAA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment