Search This Blog

Tuesday, September 1, 2020

MAJALIWA AZINDUA KAMPENI ZA CCM MKOA MANYARA


Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa  akimkabidhi nakala ya Ilani ya Uchaguzi, Mgombea Ubunge wa CCM wa Jimbo la Babati Mjini, Pauline Gekul, baada ya kuzindua Kampeni za CCM Mkoa wa Manyara  kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, Septemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati kuzindua Kampeni za CCM Mkoa wa Manyara, Septemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa  akizungumza wakati alipozindua Kampeni za CCM Mkoa wa Manyara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, Septemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa  akizungumza wakati alipozindua Kampeni za CCM Mkoa wa Manyara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, Septemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...