Search This Blog

Wednesday, September 9, 2020

KUTOKA MTAANI KWETU NDANI YA VIKINDU,MKURANGA

 

Wachoma vitumbua waliopo kando kando ya kituo cha Daladala cha kata ya Vikindu barabara Kilwa wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Septemba 8, 2020  wakiendeleaa na kazi yao kama wanavyonekana pichani ambapo kitumbua kimoja ni Shiling 100,200




(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...