Search This Blog

Thursday, September 10, 2020

Kibanda Maiti ZANZIBAR Kesho Jumamosi Patakuwa Hapatoshi...Dkt Hussein Mwinyi Atafanya Jambo


Waeleze wana kuwa KibandaMaiti ZANZIBAR kuna jambo. Mjulishe mwenzako kuwa wanaCCM wana JAMBO lao na Rais wao ajaye, Mtu wa watu, Mnyenyekevu, Kijana Mchapakazi na anayekubalika Dkt Hussein Mwinyi. 

Ni kesho JUMAMOSI tarehe 12 Septemba 202O. 




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...