Search This Blog
Sunday, September 27, 2020
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa azindua awamu ya tatu ya Kampeni za CCM
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa amezindua awamu ya tatu ya Kampeni za CCM Kutokea Kongwa Mkoani Dodoma Kwenye Mkutano Mkubwa wa Mgombea Mwenza wa CCM Mama Samia Suluhu Hassani. Chama Cha Mapinduzi kimeingia Awamu ya 3 Kati ya 6 za Kuwasha Mitambo yake ya Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wote nchi nzima.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...






No comments:
Post a Comment