Search This Blog

Wednesday, September 30, 2020

FC Bayern Munich yatwaa ubingwa wa German Super Cup


Club ya FC Bayern Munich ya Ujerumani imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa German Super Cup dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa fainali uliochezwa bila uwepo wa mashabiki viwanjani.

Katika mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani wa hali ya juu umemalizika kwa FC Bayern Munich kupata ushindi wa magoli 3-2, magoli ya Bayern yakofungwa na Joshua Kimmich na Thomas Muller.

Borussia Dortmund magoli yao mawili yalifungwa na Brandt na Haaland, ushindi huo sasa unamfanya Thomas Muller aandike rekodi ya kuwa mchezaji wa kijerumani mwenye mafanikio zaidi baada ta kutwaa taji lake la 27.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...