Search This Blog
Thursday, September 10, 2020
Aunt Ezekiel: Shamsa Hajitambui
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amesema kuwa msanii mwenzake Shamsa Ford hajitambui ndio maana anaongea mambo ya familia za watu bila kupewa ruhusa, hivyo yeye binafsi ameamua kumuacha na ujinga wake.
Akizungumza na Amani mwanamama huyo ambaye kwa sasa anatarajiwa kuitwa mama kwa mara nyingine tena, alisema kwamba siku zote katika maisha yake hawezi kubishana na mtu ambaye sio mstaarabu kwa sababu na yeye atakuwa hivyo.
“Siwezi kujibizana sana na Shamsa kwa sababu hajitambui, huwezi ukazungumza mambo ya watu tena ya ndani bila ruhusa ya wenyewe, halafu mambo yote aliyozungumza hana uhakika nayo, namuacha aendelee kuwa msemaji wangu sina muda wa kuhangaika naye,” alisema.
Siku za hivi karibuni Shamsa amekuwa akimrushia maneno Aunt mitandaoni akimsema kuhusu suala la kubeba ujauzito ambao mpaka sasa haijulikani baba mtoto wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment