Search This Blog

Tuesday, August 4, 2020

Wema Sepetu alivyopatwa na rungu la wajumbe ‘Bora mimi walinipa kura 91, hawa 6 sijui mbili si ndio hatari (Video)




Malkia wa filamu @wemasepetu amefunguka kuzungumzia sababu ya kutojitokeza kwenye kugombea Ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 kama alivyojaribu mwaka 2015 na kuambulia kura 91.

Muigizaji huyo ambaye wiki iliyopita amepata dili la tamthilia yake ya Karma kuonyeshwa @dstvtanzania , alisema kwa sasa nguvu yake ameamua kuilekeza kwenye filamu zaidi kwa kuwa ni sehemu anaona anafanya vizuri zaidi.

Wema amesema yeye kwenye siasa alifika kwenye hatua nzuri kwa kupata kura 91 ingawa na yeye wajumbe walimuangusha.

 VIDEO:



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...