Search This Blog

Monday, August 17, 2020

Waziri wa ulinzi wa Uturuki na amiri jeshi mkuu wa Uturuki wawasili nchini Libya

Hulusi Akar, waziri wa ulinzi wa Uturuki akishirikiana na amiri jeshi mkuu wa Uturuki katika ziara yake rasmi nchini Libya.


Viongozi hao wa ngazi za juu nchini Uturuki wamewasili mjini Tripoli nchini Libya ikiwa ni katika ziara yao rasmi nchini humo katika kipindi ambacho kimepelekea hali ya vuta nikuvute kati ya Uturuki na mataifa kadhaa  katika ukanda wa Mediterania .


Uturuki ilichukuwa uamuzi wa kushirikiana moja kwa moja  na serikali ya Libya mabyo inatambulikana jumuiya ya kimataifa kupamabana na jeshi la jenerali mbabe wa kivita  Khaftar.


Ziara hiyo  ni baada ya  kusainiwa  makubaliano  kuhusu  usalama   kati ya Uturuki na Libya.


Gwaride la heshima  liliandaliwa katika uwanja wa ndege wa Mitiga kwa ajili ya kuwapokea viongozi hao  katika jshi la Uturuki  katika ziara yao.


Katika gwaride hilo , viongozi tofauti wa jeshi la Libya kama Selahaddin en-Numrush,Muhammed eshharif  akiwemo pia balozi wa Uturuki mjini Tripoli wameshiriki katika  hafla hiyo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...