Search This Blog

Sunday, August 9, 2020

Waziri Mkuu Majaliwa ampa siku saba Waziri Ndalichako


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa muda wa wiki moja kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako, kuhakikisha anakutana na wakuu wa vyuo vikuu nchini.

Majaliwa amesema akutana na vyo hivyo ili kubaini vyuo ambavyo vimeshindwa kuwasilisha mchango wa wanafunzi kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Imeelezwa kuwa wanafunzi wa vyuo wamelipa michango yao lakini mpaka sasa vyuo havijawasilisha NHIF.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...