Watu 12 wamefariki katika shambulizi hilo, watu wengi wamejeruhiwa.
Kwa upande wake, Msemaji wa Wizara ya Ulinzi John Enenche amesema kwamba ameanzisha operesheni dhidi genge la silaha katika jimbo la Bayelsa.
Enenche alibaini kuwa wanachama 6 wa genge hilo wameangamizwa wakati wa operesheni hiyo na silaha kukamatwa.

No comments:
Post a Comment