Search This Blog

Monday, August 31, 2020

Wakazi 'Kuwa Mbunifu ni Sawa na KUWA Mhalifu Kwa Tanzania


Webiro Wassira maarufu Wakazi ambaye ni Msanii na Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga kwa tiketi ya ACT-Wazalendo amesema Serikali ya Tanzania haipo katika kukuza ubunifu kutokana na Sheria ya Maudhui iliyopitishwa

Amesema kumtaka msanii ambaye amefanya ubunifu kuwa na Tsh. Laki tano ili kuiweka kazi yake YouTube itafanya wabunifu wadogo kushindwa au kuonekana wahalifu kwa kukiuka sheria

Wakazi ametambua umuhimu wa uwepo wa Sera ya Sanaa na Wasanii ili kuwaweka wasanii katika mazingira mazuri na kukuza ubunifu

Webiro Wassira (Wakazi), ameyasema haya leo wakati wa uzinduzi wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha ACT-Wazalendo

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...