Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Vodacom Tanzania PLC yashinda Tuzo kwenye maonesho ya Nanenane kitaifa mkoani Simiyu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akihutubia kwenye hafla ya kilele cha maonesho ya nanenane mkoani Simiyu
 Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga akimkabidhi kombe Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya ziwa, Ayubu Kalufya, kwenye maonesho ya nanenane katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu, baada ya kuibuka washindi wa pili wa huduma za mawasiliano, kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo Mariam Mmbaga.
 Wananchi wa kanda ya ziwa wakishuhudia matukio mbalimbali kwenye kilele cha maonesho ya nanenane mkoani Simiyu, katika viwanja vya Nyakabindi huku mabango ya Vodacom yakipepea.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...