Timu ya Yanga leo imezindua wiki ya wananchi Jijini Dodoma kuelekea kilele cha siku hiyo kitakachofanyika siku ya tarehe 30, mwezi huu katika uwanja wa Mkapa jijini Dar es saalam huku mwenyekiti wa timu hiyo Dkt Mshindo Msola akibainisha hatua waliyofikia katika kuelekea mabadiliko ndani ya timu hiyo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment