Search This Blog

Sunday, August 30, 2020

Uturuki imekemea vikali kuchomwa kwa Quran nchini Uswidi



Uturuki kupitia wizara yake ya mambo ya nje imekemea vikali kiitendo cha kuchomwa moto Quran nchini Uswidi.

Uturuki imekemea  vikali kitendo cha kuchomwa moto Quran kilichotokea nchini Uswidi.

Uturuki imefahamisha kuwa imeshangazwa na kitendo hicho ambacho kimetajwa kuwa kitendo cha uchokozi na uchochezi.

Uturuki imesema kuwa  kitendo hicho ni  pigo kubwa dhidi ya utamaduni ya kuishi  pamoja na kuheshimu  thamani za utofauti wa tamaduni za Ulaya.

Kitendo hicho, Uturuki imefahamisha kuwa ni  kitendo cha uchokozi   dhidi ya jamii ya waislamu.

Taarifa ya maandishi iliotolewa na  wizara   ya mambo ya nje ya Uturuki zimelaani kiitendo hicho kilichotekelezwa na  mwanasiasa mwenye sera za kibaguzi na chuki dhidi ya uislamu kutoka nchini Danmark .




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...