"Kupigwa na wanaume sijaanza leo, tangu mwanaume wa kwanza aliyenioa nikiwa na umri wa miaka 18 alikuwa ananinyanyasa na kunipiga sana, ila kipindi hiki cha Uchebe imekuwa 'too much'"
Search This Blog
Wednesday, August 12, 2020
Uchebe alinipiga kisa kumuuliza kuzaa na mwanamke mwingine- Shilole
“Mimi nikiwa Sabasaba nahangaika kwa ajili ya familia yangu na yeye nikampigia simu nikamuuliza mume wangu kuna habari nimesikia kuna dada umezaa nae yuko Africana sijui Africa Sana, akanijibu ndio si hutaki kuzaa na mimi? Niliingia kwenye gari nikalia sana. Nikamaliza biashara yangu nikarudi, nikaingia ndani nikamkuta anacheza playstation, nikamwambia Asalaam Aleykum mume wangu hakuitikia yuko busy anacheza playstation nimelala zangu niliamshwa na ngumi ya sikio, sijakaa sawa nikapigwa ngumi nyingine” - Shilole
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment