Search This Blog

Wednesday, August 12, 2020

Uchebe alinipiga kisa kumuuliza kuzaa na mwanamke mwingine- Shilole

 “Mimi nikiwa Sabasaba nahangaika kwa ajili ya familia yangu na yeye nikampigia simu nikamuuliza mume wangu kuna habari nimesikia kuna dada umezaa nae yuko Africana sijui Africa Sana, akanijibu ndio si hutaki kuzaa na mimi? Niliingia kwenye gari nikalia sana. Nikamaliza biashara yangu nikarudi, nikaingia ndani nikamkuta anacheza playstation, nikamwambia Asalaam Aleykum mume wangu hakuitikia yuko busy anacheza playstation nimelala zangu niliamshwa na ngumi ya sikio, sijakaa sawa nikapigwa ngumi nyingine” - Shilole

"Kupigwa na wanaume sijaanza leo, tangu mwanaume wa kwanza aliyenioa nikiwa na umri wa miaka 18 alikuwa ananinyanyasa na kunipiga sana, ila kipindi hiki cha Uchebe imekuwa 'too much'"



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...