Twaha Kiduku hatimae aibuka mshindi dhidi ya Dullah Mbabe katika pambano lililopigwa usiku huu katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baada ya raundi zote 10 kukamilika, Majaji wote watatu wamempa ushindi Twaha Kiduku kwa pwenti 93-97, 91-99 na 93-97.
Hata hivyo pambano lilikuwa la kukatabna shoka kwani haikuwa rahisi kwa Twaha Kiduku kuibuka mshindi.

No comments:
Post a Comment