Search This Blog

Monday, August 10, 2020

Trump aondolewa ghafla na maafisa wa 'Secret Service' baada ya mtu kupigwa risasi karibu na White House



Rais wa Marekani Donald Trump, Jumatatu jioni kwa ghafla aliondolewa na maafisa wanaolinda usalama wake, kutoka kwenye chumba alimokuwa akiwahutubia waandishi wa habari ndani ya Ikulu mjini Washington, kufuatia kisa cha mtu kupigwa risasi karibu na ikulu hiyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...