Search This Blog

Saturday, August 8, 2020

Tekashi 69 Ameanza Vimbwanga vyake Tena, Amchokoza Huyu Tena...


Tekashi 69 ameanza vimbwanga vyake tena, ameifufua vita kati yake na Rich The Kid.

Jana kupitia akaunti yake ya Instagram, Tekashi aliweka picha inayomuonesha Rich The Kid akiwa na polisi, kisha akaandika "Snitchforever"

Ni kama anauchochea moto hivi, mwezi Mei mwaka huu wawili hao waliingia kwenye vita ya maneno na ilidaiwa kwamba Rich alipita na mpenzi wa Tekashi 69.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...