Search This Blog
Saturday, August 8, 2020
Tekashi 69 Ameanza Vimbwanga vyake Tena, Amchokoza Huyu Tena...
Tekashi 69 ameanza vimbwanga vyake tena, ameifufua vita kati yake na Rich The Kid.
Jana kupitia akaunti yake ya Instagram, Tekashi aliweka picha inayomuonesha Rich The Kid akiwa na polisi, kisha akaandika "Snitchforever"
Ni kama anauchochea moto hivi, mwezi Mei mwaka huu wawili hao waliingia kwenye vita ya maneno na ilidaiwa kwamba Rich alipita na mpenzi wa Tekashi 69.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment