Search This Blog

Monday, August 31, 2020

Sugu afunguka haya baada ya kufikisha mwaka mmoja wa ndoa yake


 Mbunge wa Mbeya Mjini anayemaliza muda wake, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ametimiza mwaka mmoja wa ndoa yake.


 Sugu alifungua ndoa Jumamosi ya Agosti 31, 2019 na mpenzi wake Happiness Msonga katika Kanisa Katoliki Ruanda Parokia ya Roho Mtakatifu, Mbeya.


“LEO ni mwaka mmoja wa NDOA yetu, NAMSHUKURU sana MUNGU kwa MAISHA yetu. Pia nakushukuru wewe MKE wangu MPENZI kwa kuniongezea FURAHA na KUBADILISHA maisha YANGU, with YOU my LIFE makes more SENSE now…LOVE ALWAYS ,” ameandika Sugu kwenye ukurasa wake wa #Instagram.

Sugu na mkewe wamebahatika kupata mtoto wa kiume waliempa jina la 'Shawn' Joseph Mbilinyi.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...