Je, ni nini siri ya namba arobaini(40)?
Kipindi cha Musa wana wa Israeli walisafiri toka Misri kwa miaka arobaini(40).
Kipindi cha Nuhu mvua ilinyesha siku arobaini(40).
Yesu alifunga miaka siku(40).
Goliati aliwapiga wana wa Israeli kwa siku arobaini (40) kabla hajauwawa na Daudi.
Musa alipanda mlimani kupewa amri kumi za Mungu kwa siku arobaini(40).
Mtu akifa kunakuwa na arobaini yaani siku arobaini baada ya kufa(40).
Mtoto akizaliwa anatolewa nje baada ya siku arobaini(40).
Hata mwizi zake ni arobaini(40)
- Na mengine mengi yanayoihusu namba arobaini (40)
Wale wataalamu wa kusoma namba naombeni msaada wenu kuhusu hii namba.
Cc: Mshana Jr
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment