Ray Kigosi na Chuchu Hans Hapatoshi..Ray Aandika "Mwanamke Mjinga Huivunja Ndoa Yake Kwa Mikono Yake Mwenyewe" Wadau Wamshukia Ray Kwenye Comments
Soma Baadhi ya Comments wadau walivyomkatalia:
Zamani wanawake wa jinga ndo wali kuaga na bomoa nyumba zao kwa mikono Yao wenyewe but kwa sasa imeshaa geuka’ wanaume wajinga hu bomoa nyumba zao kwa ku chepuka kwao ‘ volume ina tosha? Na pita tu
Enyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili, (basi aliyeshindwa kuishi na mkewe maana yake hana akili)
Kaka wew ni mwanaume mkuu mambo ya mipasho waachie wanawake,kama nyumba inawaka moto mwite huyo mjinga tafuta wazee wenye busara wajaribu kuwasuluhisha
embu toeni hiko kimovie chenu bwana mstusumbue sisi
Mjinga ni ww ambae huna hata haya mwanamke kakuzalia mtoto mzr bd unamsaliti mbwa ww ambae huna hata kiwanja unaishi kwenu
maandiko yanasema wanaume ishini na wanawake zenu kwa akili kwahyo yeye kashindwa kuishi na mkewe kwa akili basi hana akili #SautiInatosha
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment